Sunday, November 20, 2016

MAMBO YA KUMFANYIA MPENZI WAKO AZIDI KUKUPENDA



 



Mbusu

Pendelea kumbusu mpenzi wako pale mkiwa pamoja na kumshika mkono mkiwa mnatembea pamoja ,hii humjenga kujiamini kuwa anapendwa .


Fanyika kuwa msaada

Jiweke kipao mbele pale anapopata shida na kumliwaza hii humjenga kuwa kimbilio lake ni wewe anapo pata shida .

Mtoko muhimu

Wanawake hupenda kutolewa out na wapenzi wao hii hupelekea kujiona kama yeye ni wapekee katika hii dunia .

Kuwa muwazi kwake

Jaribu kuwa muazi kwa mpenzi wako ili ajue matatizo yako ,wanawake wengi hupenda kutoa ushauri kwa wale wanaowapenda,hii itamjenga kujiona kuwa anathaminiwa.

Usiwe busy kupiliza

Kuwa busy sana hupelekea migogoro katika mapenzi ,hivo jitahidi hata kumtumia sms mpenzi wako kumjulia hali ukiwa ofisini ili kumtoa wasiwasi.Vizuri zaidi kumuweka wazi kwa busy utakaokuwanao siku iyo.

Mkumbatie

Mkumbatie mpenzi wako mara kwa mara hii huojeza hisia kati yenu na kuzidi kumiss pale mtapokuwa mbali.

Staarabika

Epuka maugomvi na hasira za mara kwa mara ukiwa nae.Mwanamke hupenda ustaarabu hasa kwa mtu ambaye anampenda ukizingua mara utamkosa .

Mdekeze

Msichana anapenda kudeka na kubembelezwa sana hivo mvulana ukidekewa usikasirike .Msichana ni kama mtoto kwahiyo jifunze kumbembeleza.





Toa maoni yako.






















   

No comments:

Post a Comment