FAHAMU FAIDA NANE ZA KUVUTA BANGI, inakufanya uwe mbunifu
1. Huzuia kuenea kwa kansa ya MATITI kwa wanawake
2. Huongeza nguvu za Kiume na ubora wa Manii. Kwa mujibu wa utafiti wa chuo cha Harvard Marekani.
3. Huondoa wasiwasi na kukufanya uwe jasiri.
4. Hutibu Presha ya Jicho
5. Inasaidia kuzuia Kifafa
6. Huongeza uwezo wa kubuni (Creativity)
7. Inaboresha afya ya mapafu na kupunguza athari za tumbaku katika mapafu.
8. Huboresha ngozi na kuchangamsha kazi za mwilini.
ANGALIZO. Matumizi ya kiafya ya bangi yanapaswa kuwa chini ya Wataalamu. Kwa kuwa athari zake hutegemea kiasi cha matumizi na hali ya afya ya mtumiaji.
No comments:
Post a Comment