FAIDA ZA TUNDA LA STAFELI (TOPE TOPE)
Stafeli lina virutubisho vingi, baadhi yake ni AMINO ACID, ACETOGENINC, VITAMIN C, IRON, PHOSPHORUS, CALCIUM, NIACIN, RIBOFLAVIN na vingine vingi.1. HUSAIDIA KUTIBU SARATANI
Ingawa sio tiba ya moja kwa moja kwa saratani, lakini hakuna shaka kabisa kuwa lina virutubisho vyenye uwezo wa kupambana au kupunguza makali ya saratani.
Ukweli uliogundulika hivi karibuni, umewapa wagonjwa wa saratani njia nyingine mbadala ambayo haikuwepo hapo awali. Kwani hivi sasa wanaweza kulitumia stafeli kama dawa ya kupunguza makali au kuwapa kinga dhidi ya saratani na wanaweza pia kuitumia pamoja na matibabu wanayopewa ya mionzi na kupata ahueni kubwa.
UCHUNGUZI WA WATAALAM
Zaidi ya majaribio 15 ya kimaabara yaliyofanywa kuhusu uwezo wa stafeli, yamebaini haya yafuatayo:
2. HUSAIDIA MAUMIVU YA KIPANDA USO
Ukweli uliogundulika hivi karibuni, umewapa wagonjwa wa saratani njia nyingine mbadala ambayo haikuwepo hapo awali. Kwani hivi sasa wanaweza kulitumia stafeli kama dawa ya kupunguza makali au kuwapa kinga dhidi ya saratani na wanaweza pia kuitumia pamoja na matibabu wanayopewa ya mionzi na kupata ahueni kubwa.
UCHUNGUZI WA WATAALAM
Zaidi ya majaribio 15 ya kimaabara yaliyofanywa kuhusu uwezo wa stafeli, yamebaini haya yafuatayo:
2. HUSAIDIA MAUMIVU YA KIPANDA USO
Miongoni mwa virutubisho vilivyomo katika tunda hili ni pamoja na 'Riboflavin' husadia kutoa nafuu kwa ugonjwa wa kichwa cha kipanda uso.
3. HUZUIA ANEMIA (Ugonjwa wa kukauka damu)
3. HUZUIA ANEMIA (Ugonjwa wa kukauka damu)
Madini ya chuma (iron) yaliyomo kwenye stafeli, hufaa sana katika kuzuia ugonjwa wa kukauka damu mwilini.
4. HUTIBU MAGONJWA YA INI
4. HUTIBU MAGONJWA YA INI
Ukiachana na ladha tamu ya juisi ya stafeli lakini pia inajulikana kwa uwezo wake wa kutibu matatizo ya kwenye ini na uvimbe kwenye kibofu cha mkojo.
5. KUIMARISHA MIFUPA
Stafeli ni chanzo kizuri pia cha madini ya kopa (copper) na kalshiamu (calcium), virutubisho ambavyo huwa muhimu kwa ukuaji wa mifupa mwilini.
Matatizo mengine yanayoweza kudhibitiwa na stafeli ni pamoja na kuumwa miguu, maumivu kwenye ‘joints’, mwili kukosa nguvu na matatizo mengine ya viungo.
FAIDA NYINGINE ZA STAFELI (Kwa ufupi)
Matatizo mengine yanayoweza kudhibitiwa na stafeli ni pamoja na kuumwa miguu, maumivu kwenye ‘joints’, mwili kukosa nguvu na matatizo mengine ya viungo.
FAIDA NYINGINE ZA STAFELI (Kwa ufupi)
• Hutumika kutibu maumivu ya nyuma ya mgongo ( low back pain )
• Mstafeli hutumika kutibu maumivu ya jongo/gout
• Hurekebisha usawa wa kiasi cha damu na sukari mwilini.
• Huongeza kinga ya mwilini
• Hudhibiti ukuaji wa bacteria, virusi, vijidudu nyemelezi na uvimbe.
• Huongeza stamina ya mwili na kurahisisha kupona haraka unapokuwa mgonjwa.
• Hutibu jipu na uvimbe.
• Hukimbiza chawa.
MAJANI, MIZIZI, MAGAMBA NAYO NI DAWA
• Mstafeli hutumika kutibu maumivu ya jongo/gout
• Hurekebisha usawa wa kiasi cha damu na sukari mwilini.
• Huongeza kinga ya mwilini
• Hudhibiti ukuaji wa bacteria, virusi, vijidudu nyemelezi na uvimbe.
• Huongeza stamina ya mwili na kurahisisha kupona haraka unapokuwa mgonjwa.
• Hutibu jipu na uvimbe.
• Hukimbiza chawa.
MAJANI, MIZIZI, MAGAMBA NAYO NI DAWA
Mbali ya tunda lenyewe kuwa na faida lukuki kama zilivyoanishwa hapo juu, vilivyomo vingine kwenye mti huo kama vile mizizi, majani, mbegu na magamba yake ni dawa ya magonjwa mbalimbali:
TAHADHARI
Inaelezwa kwamba stafeli linaweza kuwa siyo salama kwa wajawazito, wagonjwa wa presha ya kupanda au kushuka (hypotension or hypertension). Hivyo wanashauriwa kabla ya kula, wapate ushauri wa daktari kwanza.
Lakini pia stafeli kwa asili yake lina kiasi kingi cha virutubisho vinavyoua bakteria, hivyo ulaji wa muda mrefu wa tunda hili kunaweza kuua bakteria wote tumboni hata wale wazuri, hivyo iwapo utalila tunda hili kwa zaidi siku 30 mfululizo, unashauriwa pia kuongezea na dawa za kulainisha njia ya chakula.
TAHADHARI
Inaelezwa kwamba stafeli linaweza kuwa siyo salama kwa wajawazito, wagonjwa wa presha ya kupanda au kushuka (hypotension or hypertension). Hivyo wanashauriwa kabla ya kula, wapate ushauri wa daktari kwanza.
Lakini pia stafeli kwa asili yake lina kiasi kingi cha virutubisho vinavyoua bakteria, hivyo ulaji wa muda mrefu wa tunda hili kunaweza kuua bakteria wote tumboni hata wale wazuri, hivyo iwapo utalila tunda hili kwa zaidi siku 30 mfululizo, unashauriwa pia kuongezea na dawa za kulainisha njia ya chakula.